Tuesday, July 15, 2014

MKUTANO MKUU WA MAENDELEO YA SANAA NA WASANII



   
 
 
 
 
 
Ni ndanii ya mkutano wa maendeleo ya sanaa na wasanii katika biashara .Kiukwelii nilijifunza vituu vingi sana juu ya kikao hichi cha maendeleo ya sanaa na wasaniiii kilichofanyika BOT HALL  maeneo ya posta .Nilijifunza vituu vingi ikiwemo jinsii ya mziki wetu kuufanya uwe biashara kwetu kwa ajilii ya kukidhi maitaji yetu na taifa kwa ujumla .

Tundaman

Write something about Auhtor Profile

0 comments:

Post a Comment

 

Copyright @ 2013 Tundaman.