Tuesday, February 25, 2020
4:34 PM
Thursday, March 5, 2015
Thursday, August 7, 2014
1:42 PM
TEAM TUNDA MAN IN KENYA
Tundaman
No comments
Wednesday, July 16, 2014
7:24 PM
TUNDA MAN AKIWA STUDIO NA MENSEN SELEKTA WAKIFANYA YAO
Miongoniiii mwa vituuu ambavyo navipenda sana na huwa najiisi raha nikiwa karibuu yake siii kitu chengine zaidi ya studio.Kwa sababu huwa naamini ni herii upoteze siku nzima ukiwa studio unaweza kupata kitu kizuriii na tofauti unavyofikiria wewe na huwa napenda sanaa kujenga urafiki na producer ambaye nahisi anaweza kunifanyia kitu kizurii .na urafiki wangu kwao nakuja pata majibu pindi track yangu itakapokuwa imeisha toka kwenye imaa yao kuja kwenye imaaa yanguuu naa urafikii wanguu kwaoo unanisaidia sana kwakwelii siweziiii uwelezea kiundaniii ilaaaa huwa nafurahiii kuona kitu ambacho nilikitegemea .kiukweliiii mungu awajaaliee all producer in the word .
Tuesday, July 15, 2014
9:13 AM
MKUTANO MKUU WA MAENDELEO YA SANAA NA WASANII
Tundaman
No comments
Ni ndanii ya mkutano wa maendeleo ya sanaa na wasanii katika biashara .Kiukwelii nilijifunza vituu vingi sana juu ya kikao hichi cha maendeleo ya sanaa na wasaniiii kilichofanyika BOT HALL maeneo ya posta .Nilijifunza vituu vingi ikiwemo jinsii ya mziki wetu kuufanya uwe biashara kwetu kwa ajilii ya kukidhi maitaji yetu na taifa kwa ujumla .
Sunday, July 13, 2014
4:48 PM
ONE OF THE BEST SHOWS THAT I DID IN 2014
Tundaman
No comments
THERE ARE SOME DAYS THAT I FEEL UN COMFORTABLE BUT WHEN IM ON THE STAGE WITH MY TRUE FANS I FEEL MORE THAN HAPPY COZ MUSIC IS MY EVREYTHING
Subscribe to:
Posts (Atom)