 |
Hapa nikisalimiana na Mashabiki na wage waliofika usiku huo..... |
 |
Mzuka ulipanda nikashuka kwa stage na kucheza pamoja na watu wangu |
 |
Nasema mzomeeni ...huyooo huyooo, hapa nikicheza na Fan wangu |
 |
Nikiimba live bila Bit pamoja na Fanz wangu, ilikua raha sana |
 |
Hapa nikiwa nawaburudisha wakazi wa Moro na Wanandumi On stage |
 |
Huyu ndye mshindi aliye patikana usiku huo ambaye amekaa na mshindi wa pili kushoto na wa tatu kulia |
 |
Nafurahi sana kwa upendo wa mashabiki, huwezi kuamini Nilicheza mpaka nikadondoka chini |
 |
Oya oya kaa ukijua starehe Gharama....oyaaaaa kaukijuaaaa |
 |
Different Rangi one people...love love kwa wote |
 |
Siyo black Peple tu wanaonielewa hata hawa wazungu wananielewa sanaaa tu |
 |
Wanandumi ...Makuzi na Nabby |
 |
wanandumi |
Tundaman
Write something about Auhtor Profile
0 comments:
Post a Comment