 |
| Hapa nikisalimiana na Mashabiki na wage waliofika usiku huo..... |
 |
| Mzuka ulipanda nikashuka kwa stage na kucheza pamoja na watu wangu |
 |
| Nasema mzomeeni ...huyooo huyooo, hapa nikicheza na Fan wangu |
 |
| Nikiimba live bila Bit pamoja na Fanz wangu, ilikua raha sana |
 |
| Hapa nikiwa nawaburudisha wakazi wa Moro na Wanandumi On stage |
 |
| Huyu ndye mshindi aliye patikana usiku huo ambaye amekaa na mshindi wa pili kushoto na wa tatu kulia |
 |
| Nafurahi sana kwa upendo wa mashabiki, huwezi kuamini Nilicheza mpaka nikadondoka chini |
 |
| Oya oya kaa ukijua starehe Gharama....oyaaaaa kaukijuaaaa |
 |
| Different Rangi one people...love love kwa wote |
 |
| Siyo black Peple tu wanaonielewa hata hawa wazungu wananielewa sanaaa tu |
 |
| Wanandumi ...Makuzi na Nabby |
 |
| wanandumi |
Tundaman
Write something about Auhtor Profile
0 comments:
Post a Comment