Siamini kabisa kama sharo milionea afariki dunia,leo mida ya saa tatu usiku baada ya kuondoka dar es salaam mida ya saa kumi akielekea tanga alipofika maeneo ya vibandani gari iliingia kwenye makolongo na kupelekea kifo chake, mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, tulikua na mipango ya kufanya video ya wimbo alionishirikisha unaitwa vuvu.
Monday, November 26, 2012
12:09 PM
SHARO MILLIONEA AFARIKI DUNIA
Author
Tundaman
Write something about Auhtor Profile
Related Posts
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment