Taarifa zilizoandikwa na website ya bongoclantz kuhusu Madee kutoka TipTop siyo kweli ni uzushi mtupu na hata sielewi taarifa hizi wamezitoa wapi, Madee bado yupo chama kubwa kama kawa pia na mimi bado nipo tunapiga kazi tu,hao walioandika habari hizo ni waongo wala msiwasikilize.
Madee & Me |
0 comments:
Post a Comment